Jeremiah 43:7-9

7 aKwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii Bwana, wakaenda mpaka Tahpanhesi.

8 bHuko Tahpanhesi neno la Bwana likamjia Yeremia kusema: 9 c“Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.
Copyright information for SwhNEN